Mon, 10 Jan 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mpaka sasa ni mapumziko baada ya dakika 45 za kwanza huku kila timu ikiwa haijaona lango la mwenzake.
Sio Yanga wala sio Azam waliobahatika kufumania nyavu zamwingine katika Uwanja wa Amaan Zanzibar.
Azam wamefanya majaribio kadhaa langoni mwa Yanga lakini golikipa Msheri amesimama imara muda wote.
Mpira unachezeka zaidi katika eneo la kati kati mwa uwanja.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live