Wed, 5 Jan 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mabingwa wtetezi wa Kombe la Mapinduzi, Dar Young Africans (Yanga) wameanza vyema michuano hiyo baada ya kuibuka na ushindi wa magoli 2-0.
Mabingwa wtetezi wa Kombe la Mapinduzi, Dar Young Africans (Yanga) wameanza vyema michuano hiyo baada ya kuibuka na ushindi wa magoli 2-0. Magoli ya Yanga kwenye mtanange huo yamefungwa na Makambo 32' na Denis NKane dakika ya 50.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live