Mon, 10 Jan 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Dakika 90 zimekamilika katika Uwanja wa Amaan Zanzibar huku sio Yanga wala Azam alieona lango la mwenzake.
Dakika 90 zimekamilika katika Uwanja wa Amaan Zanzibar huku sio Yanga wala Azam alieona lango la mwenzake. Kwa sasa mshindi anakwenda kupatikana kwa mikwaju ya penati, huku akisubiriwa mwanafainali mwingine kati ya mchezo wa Namungo vs Simba
Chanzo: www.tanzaniaweb.live