Wed, 5 Jan 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mchezo wa Kombe la Mapinduzi Cup 2022, baina ya Simba na Selem View katika Uwanja wa Amaan umemalizika kwa Simba kuibuka na ushindi wa magoli 2-0.
Magoli ya Simba katika mchezo huo yamefungwa na Pape Sakho dakika ya 25 na Kiungo Rally Bwallya dakika ya 53.
Rally Bwalya aliibuka nyota wa mchezo katika mtanange huo na kujinyakulia kitita cha Shilingi laki 500,000.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live