Mon, 10 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Winga wa Azam FC, Ayoub Lyanga amemaliza mkataba wake ndani ya Azam Fc. Mazungumzo baina ya pande zote mbili yapo kwenye hatua ngumu.
Lyanga amegomea ofa ya mkataba mpya wa mwaka mmoja, Anahitaji ofa nono ya kuanzia miaka miwili.
Singida Blacks Stars imeonesha nia ya kumuhitaji winga huyo, huku Simba SC pia wakitajwa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live