Wed, 17 Nov 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
WINGA wa Azam FC, Ayoub Lyanga amefanyiwa upasuaji katika hospitali ya Life Vincent Pelloti mjini Cape Town, Afrika Kusini.
WINGA wa Azam FC, Ayoub Lyanga amefanyiwa upasuaji katika hospitali ya Life Vincent Pelloti mjini Cape Town, Afrika Kusini. Upasuaji huo uliochukua muda wa saa mbili, unafuatia Lyanga kuumia Novemba mbili mwaka huu kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Geita Gold.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live