Tue, 9 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mlinzi wa kulia wa klabu ya soka ya Azam, Lusajo Mwaikenda amesinya kandarasi mpya ndani ya klabu hiyo itakayomfanya kusalia ndani ya viunga vya Chamazi mpaka mwaka 2027.
Nyota huyo raia wa Tanzania ameongeza kandarasi hiyo baada ya nyota mwenzake mlinzi wa kulia, Pascal Msindo kufanya hivyo wiki chache zilizopita.
Lusajo Mwaikenda ni mali halali ya Azam FC mpaka 2027
Chanzo: www.tanzaniaweb.live