Fri, 31 Mar 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Manchester United wamekubali kusaini mkataba mpya wa miaka 4 na beki wake Luke Shaw.
Manchester United wamekubali kusaini mkataba mpya wa miaka 4 na beki wake Luke Shaw. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 27 unatarajia kumalizika mkataba wake wa sasa mwaka 2024 lakini United wana mpango wa kumlinda beki Huyo wa kushoto wa England kwa muda mrefu zaidi ndani ya Old Trafford.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: