Fri, 21 Apr 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Luka Modric amesaini mkataba mpya wa kuendelea kuitumikia klabu ya Real Madrid ya Hispania mpaka ifikapo mwaka 2024.
Luka Modric amesaini mkataba mpya wa kuendelea kuitumikia klabu ya Real Madrid ya Hispania mpaka ifikapo mwaka 2024. Kiungo huyo mwenye umri wa miaka 37 bado Kocha Carlo Anceloti anamuhitaji katika kikosi chake.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live