Mon, 3 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Luka Modrić ni mchezaji aliyeshinda makombe mengi katika historia ya klabu
Ya Real Madrid baada kushinda makombe 26.
Luka Modrić ameshinda makombe mengi ya Champions League katika historia ya mashindano hayo. Ameshinda mara 6, akiungana na wachezaji wafuatao:
▪️Toni Kroos
▪️Dani Carvajal
▪️Nacho Fernandez
Luka Modrić alikuwa mchezaji wa kwanza kwenye historia kushinda tuzo zifuatazo katika mwaka mmoja:
▪️World Cup Golden Ball
▪️UEFA Men’s Player of the Year
▪️FIFA Best Men’s Player
▪️Ballon d’Or
Ikumbukwe, Luka Modrić alipigiwa kura kama usajili mbovu wa msimu wa La Liga wa 2012/13.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live