Thu, 7 Jul 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kuna kila dalili mchezaji Luis Miquissone akarejea kucheza soka Tanzania baada ya kukwama Al Ahly.
Kuna kila dalili mchezaji Luis Miquissone akarejea kucheza soka Tanzania baada ya kukwama Al Ahly. Staa huyo wa soka wa Msumbiji ameshindwa kuwika kwa miamba ya soka ya Afrika, Ahly hivyo sasa anarejea Tanzania huku timu yake ya zamani Simba ikimtolea macho, lakini Yanga, Al Hilal na Al Merrikh za Sudan pia zinatajwa kumuwania mshambuliaji huyo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live