Mon, 23 Jan 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Aliyekuwa kocha wa timu ya taifa ya Hispania na Klabu ya Barcelona Luis Enrique yupo kwenye orodha ya wanaowania nafasi ya kuwa kocha wa timu ya taifa ya Brazil.
Enrique alikuwepo nchini Qatar na kikosi cha Hispani ambapo waliishia hatua ya 16 Bora baada ya kuondolewa na Morocco kwa mikwaju ya penati.
Brazil wanahaha kusaka Kochja atakaerudisha ufalme wao katika soka la ngazi ya Taifa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live