Fri, 3 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mlinzi wa Kimataifa wa Ufaransa na Paris Saint German Lucas Hernández amepata jeraha la goti kwenye mchezo wa jana wa ligi ya mabingwa ulaya dhidi ya Dortmund na atakuwa nje ya uwanja kwa muda wa miezi miezi 6 hadi 7.
Mlinzi wa Kimataifa wa Ufaransa na Paris Saint German Lucas Hernández amepata jeraha la goti kwenye mchezo wa jana wa ligi ya mabingwa ulaya dhidi ya Dortmund na atakuwa nje ya uwanja kwa muda wa miezi miezi 6 hadi 7. Atakosa msimu uliosalia na atakosa michuano ya EURO 2024.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live