Fri, 24 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Westham yenye maskani yake Jijini London, imemsajili rasmi Julen Lopetegui raia wa Hispania kama kocha mkuu wa klabu hiyo.
Klabu ya Westham yenye maskani yake Jijini London, imemsajili rasmi Julen Lopetegui raia wa Hispania kama kocha mkuu wa klabu hiyo. Lopetegui anachukua mikoba kutoka kwa David Moyes ambaye aliondoka msimu uliokamilika.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live