Mlinzi wa pembeni wa Yanga SC, Joyce Lomalisa ambae anamaliza mkataba wake mwishoni mwa msimu huu, inawezekana akasalia kwani tayari management yake na Yanga wameshaanza kujadili na kufikiria kumuongeza mkataba mwingine wa kuendelea kubaki Yanga kwa misimu mingine.
Mlinzi wa pembeni wa Yanga SC, Joyce Lomalisa ambae anamaliza mkataba wake mwishoni mwa msimu huu, inawezekana akasalia kwani tayari management yake na Yanga wameshaanza kujadili na kufikiria kumuongeza mkataba mwingine wa kuendelea kubaki Yanga kwa misimu mingine. Lomalisa ana ofa nyingine ila kipaumbele chake cha kwanza ni kubaki Yanga, kwa sababu bado anatamani kuendelea kusalia nchini Tanzania.