Wed, 5 Oct 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Majogoo wa Jiji, Liverpool jana wameibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Rangers katika mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Anfield.
Majogoo wa Jiji, Liverpool jana wameibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Rangers katika mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Anfield. Mabao ya Liverpool yamefungwa na Trent Alexander-Arnold dakika ya saba na Mohamed Salah kwa penalti dakika ya 53 na kwa ushindi huo wanafikisha pointi sita na kusogea nafasi ya pili wakizidiwa pointi tatu na Napoli baada ya wote kucheza mechi tatu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live