Fri, 18 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Liverpool Fc wamethibitisha kumsajili kiungo wa kati wa Japan Wataru Endo kutoka Stuttgart kwa kiasi cha €19m akisaini mkataba wa miaka minne.
Endo anakuwa usajili wa tatu kusajiliwa Liverpool dirisha hili baada ya Alex Mac Allister na Dominik Szoboszlai.
Endo atavaa jezi namba 3 iliyokuwa ikivaliwa na Fabinho ambae ametimkia Saudi Arabia.
Kwa Vyovyote Vile Liverpool ilikua inahitaji Kiungo wa Ulinzi, Je Endo ataweza kutatua tatizo la msingi la Liverpool.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live