Mon, 26 Aug 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Liverpool imefikia makubaliano ya kumsajili golikipa Giorgi Mamardashvili kutoka Valencia kwa dau la Euro Milioni 35 kuanzia mwaka 2025.
Klabu ya Liverpool imefikia makubaliano ya kumsajili golikipa Giorgi Mamardashvili kutoka Valencia kwa dau la Euro Milioni 35 kuanzia mwaka 2025. Mamardashvili (23) raia wa Georgia atasaini mkataba wa miaka sita na ataendelea kubaki Valencia kabla ya kujiunga na Liverpool kuanzia msimu wa 2025/26.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live