Liverpool haina mpango wa kuongeza nguvu eneo la kiungo mkabaji kwa kumsajili Palhinha, Liverpool wame toa Muongozo kwamba Palhinha Umri wake wa miaka 28 ni mkubwa kwa malengo yao ya muda mrefu pia dau lake la £60m bado sio salama kwa mahitaji ya Liverpool
Liverpool haina mpango wa kuongeza nguvu eneo la kiungo mkabaji kwa kumsajili Palhinha, Liverpool wame toa Muongozo kwamba Palhinha Umri wake wa miaka 28 ni mkubwa kwa malengo yao ya muda mrefu pia dau lake la £60m bado sio salama kwa mahitaji ya Liverpool Liverpool wanaamini hawana papara mipango yao eneo la kiungo mkabaji lita pata mtu sahihi kwa utulivu atakae weza kuja kufanya kazi na Wataru Endo.