Mon, 4 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Timu ya Liverpool inafikiria kuanza mazungumzo na mchezaji wao Andy Robertson ili wamuongezee mkataba mpya mchezaji huto raia wa Scotland mwenye umri wa miaka 29
Timu ya Liverpool inafikiria kuanza mazungumzo na mchezaji wao Andy Robertson ili wamuongezee mkataba mpya mchezaji huto raia wa Scotland mwenye umri wa miaka 29 Liverpool wanadai hawana wasiwasi mbali ya kuwa tetesi zinaonyesha kuwa mchezaji huyo yupo kwenye mipango ya Bayern Munich wanayemtaka ili kuziba pengo la mchezaji wao Liverpool anayefikiria kuondoka klabuni hapo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live