Thu, 25 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Majogoo wa Jiji, Liverpool wametinga fainali ya kombe la EFL kama walivyofanya hivyo 2022.
Majogoo wa Jiji, Liverpool wametinga fainali ya kombe la EFL kama walivyofanya hivyo 2022. Safari hii watakutana tena na Chelsea baada ya kuifunga Fulham kwa jumla ya mabao 3-2.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live