Fri, 10 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha mkuu wa kikosi cha Manchester United Erik Ten Hag huenda akaondoshwa Manchester United tarehe sawa na aliyoondoshwa kocha wa zamani wa klabu hiyo Jose Morinho.
Inaelezwa kuwa Ten Hag akipoteza mchezo wake dhidi ya Liverpool ndio inaweza kuwa tiketi ya kuondoka kwake.
Mchezo dhidi ya Liverpool utapigwa Decembe 17 na akipoteza anaweza kuondoshwa Jumatatu asubuhi ya December 18.
Mashabiki wa Liverpool wanasema wanahitaji Ten Hag asifukizwe hadi wamalizane, hii ina maana gani wadau
Chanzo: www.tanzaniaweb.live