Wed, 20 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Je wajua kuwa Liverpool ndiyo timu pekee kwa sasa ambayo imecheza michezo mingi ya ligi bila kufungwa?
Tangu April 17 imecheza jumla ya michezo 14. Kati ya michezo hiyo imeshinda 11 na kutoa droo michezo 3 tuu.
6-1 (Leeds)
3-2 (Nottingham Forest)
2-1 (West Ham)
4-3 (Spurs)
1-0 (Fulham)
1-0 (Brentford)
3-0 (Leicester)
1-1 (Villa)
4-4 (Southampton)
1-1 (Chelsea)
3-1 (Bournemouth)
2-1 (Newcastle)
3-0 (Villa)
3-1 (Wolves)
Kiujumla wamekusanya alama 33 kati 42 walizopaswa kuzichukiua katika michezo hiyo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live