Fri, 25 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kwa mujibu wa taarifa zinadai kuwa klabu ya Liverpool imejiandaa kukataa ofa yoyote itakayokuja mezani ikimuhitaji kiungo mshambuliaji wa klabu hiyo Mo Salah kabla ya dirisha hili la usajili kufungwa September 1.
Kwa mujibu wa taarifa zinadai kuwa klabu ya Liverpool imejiandaa kukataa ofa yoyote itakayokuja mezani ikimuhitaji kiungo mshambuliaji wa klabu hiyo Mo Salah kabla ya dirisha hili la usajili kufungwa September 1. Klabu ya Al Ittihad kutoka Saudi Arabia inatajwa kujipanga kupeleka ofa kwa ajili ya Mchezaji huyo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live