Fri, 21 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Liverpool imepanga kumsajili kiungo mshambuliaji kinda wa klabu ya Real Madrid raia wa Turkiye Arda Güller katika dirisha hili la usajili.
Klabu ya Liverpool imepanga kumsajili kiungo mshambuliaji kinda wa klabu ya Real Madrid raia wa Turkiye Arda Güller katika dirisha hili la usajili. Klabu ya Real Sociedad pia wameonesha nia ya kumsajili kinda huyo kwa mkopo katika dirisha hili la usajili.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live