Thu, 19 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Liverpool ni miongoni mwa klabu za Premier League zinazovutiwa Jamal Musiala mwenye umri wa miaka 20, ambaye mkataba wake na Bayern Munich utafikia tamati June 2026.
Klabu ya Liverpool ni miongoni mwa klabu za Premier League zinazovutiwa Jamal Musiala mwenye umri wa miaka 20, ambaye mkataba wake na Bayern Munich utafikia tamati June 2026. Bayern hawako tayari kumuachia kinda huyo kwa kuwa inaonekana yuko katika mipango yao.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live