Sat, 11 Mar 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Majogoo wa Jiji, Klabu ya Liverpool, wameshindwa kutamba mbele ya AFC Bournemouth katika dimba la Vitality licha ya Ushindi mnono wa 7-0 Weekend iliyopita na kupokea kichapo cha 1-0.
Majogoo wa Jiji, Klabu ya Liverpool, wameshindwa kutamba mbele ya AFC Bournemouth katika dimba la Vitality licha ya Ushindi mnono wa 7-0 Weekend iliyopita na kupokea kichapo cha 1-0. Katika mchezo huo Liverpool walipoteza nafasi ya kusawazisha bao baada ya Mohammed Salah kukosa mkwaju wa Penati.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live