Mon, 24 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Liverpool wanatarajia kucheza mchezo wa kirafiki dhidi ya klabu ya Furth Fc kutokea nchini Ujerumani ikiwa ni mchezo wa kujipima katika maandalizi ya msimu ujao wa 2023/24.
Mchezo huo utapigwa katika dimba la nyumbani la klabu ya Furth Fc Laubenweg huku nchini Ujerumani ambapo mechi itaanza saa kumi ya jioni kwa saa za Afrika ya Mashariki.
FURTH FC VS LIVERPOOL
Saa 10:00 Jioni
#PreseasonFriendly
Leubenweg Stadium.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live