Thu, 4 Nov 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Majina ya wachezaji nane yametolewa ambao watawania tuzo ya mchezaji bora wa mwezi Oktoba katka ligi ya EPL.
Kuna Mohammed Salah, Ramsdale, Chilwell, Livramento, Tielemans, Rice, Cornet na Phil foden.
Nani ataibuka kidedea katika kinyang"anyiro hicho? tusubiri muda wa utolewaji wa tuzo hiyo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live