Fri, 2 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
FC Seoul inayoshiriki Ligi kuu Korea kusini maarufu kama K-League imempa Jesse Lingard (31) mkataba wa miaka miwili na mshahara mkubwa.
FC Seoul inayoshiriki Ligi kuu Korea kusini maarufu kama K-League imempa Jesse Lingard (31) mkataba wa miaka miwili na mshahara mkubwa. Jesse Lingard atawasili Korea Kusini siku ya Jumatatu kwa ajili ya vipimo vya afya kisha kusaini mkabata wake, ripoti ya BBC Sport
Chanzo: www.tanzaniaweb.live