Thu, 14 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kati ya makocha 16 wa timu za Kigi Kuu ya NBC msimu huu 2023|24, makocha saba [7] ni wazawa na makocha tisa [9] ni raia wa kigeni.
Makocha wengi wazawa wanatoka kwenye timu za taasisi [binafsi au serikali], ni Ihefu SC pekee ambayo si timu ya taasisi lakini ina kocha mzawa.
MAKOCHA WAZAWA WA TIMU ZA LIGI KU NI:
1. Abdallah Mohamed ‘Barres’ [Mashujaa FC] 2. Hemed Morocco [Geita Gold FC] 3. Zuber Katwila [Ihefu SC] 4. Malale Hamsini [JKT Tanzania] 5. Habib Kondo [Mtibwa Sugar] 6. Fredy Felix Minziro [Tanzania Prisons] 7. Mecky Maxime [Kagera Sugar].
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: