Thu, 19 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Inaelezwa kuwa Ligi kuu ya Ufaransa Ligue 1 iko katika hatari ya kutokuonekana kwenye TV.
Inaelezwa kuwa Ligi kuu ya Ufaransa Ligue 1 iko katika hatari ya kutokuonekana kwenye TV. Hatua hiyo ni kutokana na kutokuwa na utayari wa wahusika wa kurusha matangazo kulipia kiasi cha £693m kwa kila mwaka Ili kurusha Mubashara Ligue 1 na 2.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live