Mon, 4 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Man United wamefanya usajili wa Straika wa viwango dirisha kubwa la usajili Rasmus Hojlund kutokea Atalanta.
Jana Jumapili Hojlund alipata nafasi ya kucheza mchezo wake wa kwanza katika jezi ya Man United akiingia kutokea benchi katika kipigo cha mabao 3-1 kutoka kwa Arsenal.
Licha ya kucheza dakika chache akichukua nafasi ya Anthony Martial Hojlund hajatoka kinyonge.
Good debut! Alimpa kitu cha kufanya Gabriel. Physical, kuna mara kama 3 ubavu wake tu na touch kidogo uliwapa United harufu ya lango. Kashaonesha kuwa yeye sio mnyonge kilichobaki ni kuendelea kunyonga tu sasa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live