Tue, 17 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mshambuliaji wa Barcelona raia wa Poland anataka kuingia katika kitabu cha kumbukumbu sambamba na wakongwe kama Lione Messi na Cristiano Ronaldo.
Lewandowski mpaka sasa amefikisha mabao 92 huku akiwa na hamu kubwa ya kufikisha mabao 100.
Akizungumza Lewandowski anasema;
"Kufikisha mabao 100 katika Uefa Champions League itakuwa ni jambo kubwa kwangu. Nitafanya kila kitu kuhakikisha nafanikisha hilo."
Vinara wa Mabao hadi sasa:
Cristiano Ronaldo 140
Lionel Messi 129
Lewandowski 92
Karim Benzema 90
Chanzo: www.tanzaniaweb.live