Fri, 3 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Bayer Leverkusen wamecheza mechi yao 47 bila kupoteza kwenye michuano yote msimu huu baada ya kuibamiza AS Roma 2-0 kwenye mchezo wa mkondo wa kwanza wa nusu fainali ya Ligi ya Europa katika dimba la Olimpico (Rome)
FT: AS Roma 0-2 Bayer Leverkusen
Florian Wirtz 28’
Andrich 73’
Vijana wa Daniel De Rossi (Roma) na vijana wa Xabi Alonso (Leverkusen) watachuana kwenye mchezo wa marudiano wiki ijayo kuamua nani atakayetinga fainali ya michuano hiyo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live