Fri, 8 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Leicester City Football Club imekutwa na hatia Makosa ya kukiuka sheria za PSR rules, watakumbana na adhabu ya kukatwa point 10 msimu ujao, Leicester walikiuka sheria hizo kabla ya kushuka daraja kutoka Premier League msimu uliopita.
Klabu ya Leicester City Football Club imekutwa na hatia Makosa ya kukiuka sheria za PSR rules, watakumbana na adhabu ya kukatwa point 10 msimu ujao, Leicester walikiuka sheria hizo kabla ya kushuka daraja kutoka Premier League msimu uliopita.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live