Mon, 23 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Joan Laporta amethibitisha kuwa atagombea tena kwenye uchaguzi wa rais wa FC Barcelona utakaofanyika mwaka 2026.
Joan Laporta amethibitisha kuwa atagombea tena kwenye uchaguzi wa rais wa FC Barcelona utakaofanyika mwaka 2026. Laporta ndie Rais wa Barcelona kwa sasa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live