Mon, 9 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kinda Lamine Yamal mwenye umri wa miaka 16 tu ameweka rekodi ya kuwa mfungaji kinda zaidi kufunga bao kwenye mechi ya Laliga kihistoria.
Yamal ameifungia Barcelona bao la kwanza ikielekea mapumzikoni wakiwa nyuma 2-1 dhidi ya Granada.
Mchezo huo ulimazikia kwa sare ya mabao 2-2.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live