Thu, 30 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kinda wa Barcelona, Lamine Yamal (16) ameshinda tuzo ya Mchezaji bora kijana chini ya umri wa miaka 23 wa La Liga 2023/24.
Kinda wa Barcelona, Lamine Yamal (16) ameshinda tuzo ya Mchezaji bora kijana chini ya umri wa miaka 23 wa La Liga 2023/24. Lamine amekuwa na kiwango Bora msimu 2023/24 ambao umetamatika wikiendi iliyopita kwa Madrid kubeba Ubingwa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live