Tue, 27 Aug 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mlinzi wa kati Lameck Lawi amerejea ndani ya kikosi cha Coastal Union. Lawi amerejea Coastal Union baada ya kukamilika kwa ratiba ya majaribio yake nchini Ubelgiji.
Mlinzi wa kati Lameck Lawi amerejea ndani ya kikosi cha Coastal Union. Lawi amerejea Coastal Union baada ya kukamilika kwa ratiba ya majaribio yake nchini Ubelgiji. Tayari yupo kambini na amekwisha anza mazoezi na waajiri wake hao tayari kwa maandalizi ya Murndelezo wa Msimu Mpya wa 24/25.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: