Fri, 17 Dec 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Simba imezindua kampeni ya ujenzi wa uwanja wake hii leo Disemba 17 katika hotel ya Hyatt Regency Jijini Dar es Salaam.
Klabu ya Simba imezindua kampeni ya ujenzi wa uwanja wake hii leo Disemba 17 katika hotel ya Hyatt Regency Jijini Dar es Salaam. Simba wametambulisha njia tofauti tofauti ambazo mshabiki, mpenzi na mwanachama anaweza kuchangia klabu hiyo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live