Mon, 23 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara Timu ya Yanga inashuka dimbani muda mchache kutoka sasa kuvaana na Azam FC mchezo wa mzunguko wa 6 Ligi Kuu ya NBC.
Mchezo huo unatazamiwa kuwa na ushindani mkubwa hasa ikizingatiwa kila Timu inatamani kushinda mchezo huo ili kujikita kileleni mwa msimamo wa Ligi.
Hivi hapa vikosi vya Timu zote mbili vinavyoanza mchezo wa leo;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live