Tue, 15 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Pazia la Ligi Kuu ya NBC 2023/24 linafunguliwa Rasmi leo Agosti 15 kwa mchezo wa kwanza utakaopigwa huko Mbarali Jijini Mbeya.
Ihefu wataikaribisha Geita Gold FC katika Uwanja wa Mbarali majira ya saa 10 jioni.
Hivi hapa vikosi vya timu zote mbili vinavyoanza mchezo wa leo, vitazame na utupe utabiri wako.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: