Thu, 22 Aug 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mshambuliaji wa Real Madrid, Kylian Mbappé amewasiliana na moja kwa moja LFP pamoja na UEFA ili kuishitaki PSG kwa kushindwa kutomlipa haki yake.
Mshambuliaji wa Real Madrid, Kylian Mbappé amewasiliana na moja kwa moja LFP pamoja na UEFA ili kuishitaki PSG kwa kushindwa kutomlipa haki yake. Kylian Mbappe anaidai €55M kama mshahara pamoja na Bonasi ambazo hajalipwa ikiwa PSG itakutwa na Hatia itakuwa na hatari ya kutolewa kwanye UEFA CL.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live