Fri, 8 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Moja kati ya michezo ya kusisimua weekend hii ni ule wa Aston Villa dhidi ya Arsenal ambao utapigwa Jumamosi hii saa 2:30 usiku.
Arsenal anaongoza kwenye msimamo wa Ligi na Aston Villa ipo nafasi ya tatu ya msimamo, tofauti yao ni alama nne pekee.
Aston Villa katoka kumvunja City pale Villa Park na mara hii Arsenal ana jipeleka mwenyewe naamini wote mnajua nini kinafuata
Pep ameshasema hii Villa inaweza kubeba ndoo msimu huu bila shaka, ameipa ubingwa mwenye ubingwa wake.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live