Tue, 13 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya Max Gradel kuonekana akishangilia na bendera ya Morocco baada ya ushindi wa Ivory Coast juzi kwenye fainali maswali yalikuwa mengi wakihoji alikuwa anamaanisha nini.
Kitendo hiko kimetolewa ufafanuzi kuwa ushindi wa Morocco dhidi ya Zambia kwenye mechi ya hatua ya makundi uliwasaidia Ivory Coast kufuzu kama best loser
Maana yake bila Morocco kushinda safari ya Ivory Coast ingeishia makundi, kwa kuheshimu hilo Max aliamua kushangilia na bendera ya Morocco.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live