Thu, 19 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wakati wengi wakionekana kushangazwa na uamuzi wa Winga wa Real Madrin na Timu ya Taifa ya Ubelgiji Eden Hazard kutundika daluga katika umri wa miaka 32.
Mchezaji huyo ametoka hadharan na kufafanua azma yake hiyo iliyoawaacha wengi na simanzi.
Akizungumza Hazard anasema;
"Siku zote nilisema kwamba nitaacha kucheza mara tu nitakapokosa tena burudani uwanjani".
"Sikutaka kwenda kucheza mahali fulani kwa pesa. Sikufurahia mazoezi... na sikucheza tena. Uamuzi ulikuwa rahisiā,
Chanzo: www.tanzaniaweb.live