Mon, 12 Jun 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Msimu ujao wa UEFA Champions League utakuwa msimu wa kwanza katika kipindi cha miaka 20 kuwakosa Lionel Messi na Cristiano Ronaldo.
CR7 kwa sasa yupo katika Ligi ya Saudi Arabia akiwa na Al Nassr na Messi anatimkia MLS ya Marekani.
Hii imekaaje kwako wewe mdau wa michezo?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live