Mon, 13 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kwa Mara ya kwanza katika michezo 882 kocha Pep Guardiola, jana timu yake ilifunga goli 4 na kuruhusu goli 4.
Ni katika mchezo wa EPL dhidi ya Chelsea huku magoli 2 Kati ya manne ya Chelsea yalifungwa na vijana aliowakuza Pep Guardiola mwenyewe (Stelling na Parker).
Mchezo unaifata City itawakaribisha Liverpool ambao wapo nafasi ya pili huku City akiongoza msimamo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: