Fri, 27 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kwa mara ya kwanza katika historia, AC Milan waliingia uwanjani juzi kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa bila mchezaji hata mmoja wa Kiitaliano katika kikosi cha kwanza dhidi ya Paris Saint German (PSG).
Kikosi (4-3-3);
Mike Maignan - Ufaransa
Theo Hernandez - Ufaransa
Malick Thiaw - Ujerumani
Fikayo Tomori - Uingereza
Pierre Kalulu - Ufaransa
Yunus Musah - Marekani
Rade Krunić - Bosnia
Tijjani Reijnders - Uholanzi
Rafael Leão - Ureno
Olivier Giroud - Ufaransa
Christian Pulisic - Marekani.
Kwenye game hiyo Milan alipigwa bao 3-0 na PSG.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live